Wakiwa na silaha nzito nyuma ya mtangazaji katika kipindi kinachorushwa mubashara ,ilimlazimu mtangazaji kumhoji mmoja wa wanamgambo hao huku akiwaelezea kama watu wema.
Mtangazaji huyo aliwataka wananchi kushirikiana na kundi hilo katika kujenga upya nchi ya Afghanistan
Hatua hiyo inakuja mara baada ya kundi hilo kuchukua udhibiti kamili wa nchi hiyo kufuatia Marekani kuondoa vikosi vyake katika taifa hilo.
0 comments:
Post a Comment