UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi
kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa
huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo
hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao
anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume
huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.
Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo
katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa
zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza
kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale
utakayoelekezwa.
Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi
kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa
CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi
huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka,
tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo
ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume
nayo ni pamoja na;
- Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
- Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
- Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
- Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
- Kisukari
- Kuwa na mawazo na wasiwasi
- Matumizi ya madawa mbalimbali
- Umri hasa wazee
- Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
- Kuwa na tatizo la kibofu
- Tabia za kujichua kwa mda mrefu
- Kutopata usingizi kamili
- Matumizi
makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa kama kansa, vidonda
vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au
mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni kama;
- Kuwahi kufika kileleni
- Kukosa hamu ya mapenzi
- Kushindwa kurudia tendo la ndoa
- Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
- Kuchoka
sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia
kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
- Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
- Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
- Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
- Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
- Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
- Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini kama kisukari, moyo, punguza unene na mengine
- Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi
- Balansi usito wako
- Usivute sigara
- Punguza au acha kunywa pombe
- Punguza mawazo
- Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
- Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9
- Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi
- Kunywa maji ya kutosha
TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Hili ni tatizo ambalo huwanyima raha watu wengi kwasababu linaashiria
upungufu flani wa kimwili, tunawashauri watu wengi wafanye mazoezi,
kula chakula bora hasa asilia na pia wanywe maji mengi ili kuimarisha
afya zao. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaondolewa japo ni kwa
mda mrefu kidogo, wengi hudanganywa na kupewa dawa za kuongeza nguvu
pale unapoenda kujamiiana na sio dawa ya kutibu.
Tuna dawa ya kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambayo ni ya
asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa.
Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia
baada ya wiki mbili huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa
maisha ambao inatakiwa utumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendekea
kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.
Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta
ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya
mimea na vitu vingine vya asili, japo wengi hudharau. Mungu tunaomba
utuokoe na kutuponya.