Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera (pichani) amewafukuza kazi waziri wa nishati na katibu mkuu wa wizara hiyo, ambao wote wanakabiliwa na tuhuma za rushwa. Wawili hao walikamatwa Agosti 10, 2021, wanadaiwa kuingilia utaratibu wa utoaji wa mikataba ya kusambaza mafuta.

0 comments:
Post a Comment