Social Icons

NIFA AD

NIFA AD

NIFAAAA

NIFAAAA

Thursday, August 19, 2021

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AMEREJEA TANZANIA KUTOKEA MALAWI.

 


Nimerejea nchini kutoka Lilongwe, Malawi ambako nimeshiriki Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC. Katika mkutano huo tumejadili masuala mbalimbali ya kuimarisha utengemano wa SADC ili kuongeza fursa za kukua kwa uchumi, kuimarisha usalama na ustawi wa wananchi

0 comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates