Social Icons

NIFA AD

NIFA AD

NIFAAAA

NIFAAAA

Monday, August 23, 2021

JOSEE CHAMELEONE ALAZWA ICU.

 


Staa mkubwa wa muziki barani Afrika anayetokea nchini Uganda Joseph Mayanja alimaarufu Jose Chameleone mwenye umri wa miaka 42 ameelezwa kulazwa hospitalini akisumbuliwa na tatizo la Ini na Kongosho.


Taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari nchini Uganda zinaeleza kuwa Chameleone amelazwa kwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda kidogo.

0 comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates