_
Msanii toka lebo ya KondeGang ibraah amefunguka na kuweka wazi swala la yeye kumpost Fahyma kwenye insta story yake siku kadhaa nyuma.Katika mahojiano Ibraah alifunguka haya:
"Nilimpost Fahyma kwa sababu ni kama Dada angu ni mwanamke mzuri na ni m
Mtanzania mwenzangu,kama ningekua namtamani au namtaka ningeandika tu nampenda kwani ningefungwa??? Dini yangu haikatazi kuoa mtu aliyekuzidi umri"-Aliongea Ibraah
NINI MAONI YAKO?......

0 comments:
Post a Comment