Producer Mkubwa wa muziki kutokea nchini Marekani @therealswizzz pamoja na mke wake ambae ni star wa Muziki Marekani @aliciakeys wametimiza miaka 11 ya ndoa yao#SwizzBeatz amethibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa instagram ambapo amesema kuwa wamefanya kusherekea kitu hiki kikubwa kwenye maisha yao kwa takribani masaa 72 akiwa na #AliciaKeys
Wawili hawa walifunga ndoa yao Julai 31, 2010, hivyo hadi sasa wamefikia idadi ya miaka 11
Kupitia Ukurasa wake wa instagram - Swizz Beatz ameandika kuwa 👇
72 hr date trip dump Zaaaaa. Celebrating our 11yr anniversary month all month 🙌🏽 Them Deans 🎉🎉 The fact we haven’t been back to the house in Corsica we got married at 11yrs ago until now is crazy !!!! Time goes by fast make every moment count 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽 EID MUBARAK 🤲🏾
0 comments:
Post a Comment