Monday, July 19, 2021
RAIS SAMIA SULUHU AMEGUSWA, TOZO
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. mwigulu nchemba amesema Serikali imesikia kilio na maoni ya wananchi kuhusu tozo mpya ya miamala ya simu na kuwaomba wawe watulivu wakati jambo hilo linapatiwa ufumbuzi"Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment