Friday, July 16, 2021
N_Ent; IGGY AZALEA ATANGAZA KUACHA KUFANYA MUZIKI BAADA YA KUTOA ALBUM.
Rapa kutokea nchini Australia @thenewclassic (IGGY AZALEA) ametangaza kuacha muziki kwa muda
#Iggy kupitia ukurasa wake wa twitter amethibitisha taarifa hii kwa kuandika kuwa baada ya kutoa Album mpya itakayofuata ataacha kufanya muziki kwa muda
Aidha, star huyu ametaja sababu ya hayo yote kuwa ni atajikita kwenye maswala mengine mbalimbali nje ya muziki
Pia katika taarifa yake hiyo ametoa muda wa kuachia Album yake mpya ambao ni mwezi ujao (August)
Nyota huyu ni hitmaker wa ngoma kama vile #Fancy(2014), #Team pamoja na #NoMediocre aliyoshirikishwa na rapa T.I
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment