Thursday, July 15, 2021
MVUA KUBWA UJERUMANI.
Mvua kubwa iliyonyesha magharibi mwa Ujerumani imesababisha mafuriko na kuua Watu 11 huku Watu zaidi ya 50 wakiwa hawajulikani walipo.Vikosi vya uokoaji Ujerumani na Polisi wametumia Helikopta kuokoa Watu mbalimbali ambao walikua wamepanda juu ya nyumba zao baada ya kuzingirwa na maji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment