Social Icons

NIFA AD

NIFA AD

NIFAAAA

NIFAAAA

Sunday, July 11, 2021

MKOANI MWANZA JIONI YA LEO YATOKEA MAPIGANO KATI YA WAISLAM NA WAKRITU.

 

 Breaking News:Habari zilizotufikia muda huu zinasema kuwa kumezuka mapigano kati ya Waislam na Wakristu huko Geita Mwanza na inadaiwa mtu mmoja amepoteza maisha kufuatia sakata la uchinjaji nyama ambapo inasemekana wachungaji wa kanisa la AIC wamewatangazia waumini wake kutokula nyama inayochinjwa na Waislam na kwamba leo wakristo wa eneo la Buselesele wamefungua Mabucha yao na kuanza kuuza nyama. Tutaendelea kuwaletea taarifa zaidi kuhusiana na habari hii habari.

0 comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates