@theweeknd na muigizaji kutoka nchini Marekani #AngelinaJolie penzi limenoga sasa, Wawili hao wameonekana tena pamoja kwenye tamasha lililofanyika usiku huko Los Angeles
Penzi la wawili hawa limekuwa sio la kificho tena kwani paparazi wainasa picha yao ya pamoja wakiwa kwenye tamasha la #Mustafa lililofanyika jijini humo nchini Marekani
Pia hivi karibuni kulikuwa na uvumi wawili hawa kuhusishwa kuwa kwenye mahusiano baada ya kuonekana wakipata chakula cha Usiku Giorgio Baldi mjini Los Angeles.
0 comments:
Post a Comment