Social Icons

NIFA AD

NIFA AD

NIFAAAA

NIFAAAA

Friday, October 22, 2021

DIAMOND KUWANIA TUZO ZA MTV EUROPE MUSIC AWARDS.


 Nyota muziki wa Bongoflava na Tanzania, Diamond Platnumz @diamondplatnumz amechaguliwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards (MTV EMA) 2021.



‘Simba’ atachuana na wasanii wengine wanne kutoka Afrika, Tems (Nigeria), Wizkid (Nigeria), Focalistic (Afrika Kusini) na Amaarae (Ghana) kuwania taji la mwaka huu la Best African Act.


Katika hatua itakayowaacha wapenzi wa muziki wa kiafrika vinywa wazi, Nyota mwingine wa Afrika ambaye pia ni mshindi wa Grammy, Burna Boy hakutajwa katika kitengo chochote.


Washindi watatuzwa katika hafla itakayoandaliwa Papp László Budapest Sportaréna jijini Budapest, Hungary, November 14 .

0 comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates