Social Icons

NIFA AD

NIFA AD

NIFAAAA

NIFAAAA

Thursday, August 12, 2021

MBAPE AMEMKARIBISHA MESSI PSG.


 


Staa wa PSG, Kylian Mbappe amemkaribisha Lionel Messi kwenye klabu hiyo kwa kupost kwenye ukurasa wake wa Instagram akiandika: "Karibu Paris Leo"
.
Mbappe ni mmoja wa watu wanaomkubali Cristiano Ronaldo lakini sasa atakuwa akicheza timu moja na Messi. 😁

0 comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates