GoodNews kwa mashabiki na wapenzi wa muziki wa BongoFleva ni kwamba mwanamuziki @diamondplatnumz amechaguliwa kama mwanamuziki pekee kutoka tanzania na afrika mashariki kuwania tuzo za #GhanaMusicAwardsUK2021 katika kipengele cha Msanii Bora wa Mwaka.
Katika tuzo hizo zinazo tarajiwa kutolewa mwezi wa Kumi (October) mwaka huu pia zimewataja wanamuziki wengine kama #BurnaBoy ,#Wizkid #Davido, #Patoranking, #FireBoyDML, #MasterKG, #Teni, Mercy Chinwo, Judikay na Sinach katika kipengele hicho cha Msanii Bora Wa mwaka 2021.

0 comments:
Post a Comment