Monday, July 19, 2021
VANESA AKANUSHA KUPATA MTOTO KUPITIA MTANDAO WAKE WA INSTAGRAM.
ambaye ni mpenzi wake star wa muziki kutokea Marekani🇺🇲 mwenye asili ya Nigeria @rotimi amekanusha uvumi uliokuwa ukienea kwenye mitandao ya kijamii kuwa amebarikiwa kupata mtoto wa kiume
#Vanessa ametumia ukurasa wake wa instagram (Insta-Story) kukanusha taarifa hizo kuwa amepata mtoto pamoja na mpenzi wake huyo
Pia kufuatia taarifa hizo star huyu aliongeza kuwa wanampa presha mama yake mzazi ambaye yupo jijini Arusha hivyo waache kuzusha habari zisizo rasmi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment