Social Icons

NIFA AD

NIFA AD

NIFAAAA

NIFAAAA

Monday, July 12, 2021

MAYWEATHER ANYAKUA KITITA CHA MILION 82 KWA KUBET KUTOKA MCGREGOR.

 


Bondia @floydmayweather ameshinda kitita cha shilingi milioni 82 baada ya kubashiri (Bet) kuwa #ConorMcGregor atashindwa katika pambano lake dhidi ya #DustinPoirier

Kupitia Page yake ya Instagram #Mayweather ameweka wazi mkeka wake huo ambao alikua ameweka kiasi cha shilingi milioni 115 kwa pesa za Bongo

Ikumbukwe kuwa #ConorMcGregor alipoteza pambano lake dhidi ya #DustinPoirier hivi karibuni baada ya kuvunjika mguu ambapo ilimlazimu refa kumaliza mchezo huo kwa kufuata maelekezo ya Daktari.

0 comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates