Social Icons

NIFA AD

NIFA AD

NIFAAAA

NIFAAAA

Friday, July 30, 2021

ICE CUBE ATOA LIST YA MARAPA 15 WANAOFANYA VIZURI MUDA WOTE NCHINI MAREKANI.






 Hapana shaka kua Jina la Ice Cube lina heshima mno pwani ya magharibi kwani mi mmoja wa waasisi wa ile ilioitwa Gangsta Rap katika ukanda huo.


Lakini ukiacha jambo Hilo Cube ni moja wa marapper wa kwanza kabisa kujitambua na kudai masalahi na kumuwashia Moto aliekua meneja wao Jerry Heller kuhusu kiwango cha malipo anachostahili kulingana na Jasho lake.

pengine Ice cube aliwafungua macho wanahiphop wengi waliofanya kama utamaduni tu na sio biashara.

Tuache hayo Cube ni legend West Coast na America kwa ujumla lakini ameushangaza umma wa Hip-hop/Rap kwa kutokumjumuisha 2 Pac shakur kwenye list ya Mc 15 anaoona ni bora wa muda wote.

Cube aliwataja Mc wengi bora lakin hakumjumuisha Pac anaeaminika na wengi kua moja ya Mc /rappers bora wa muda wote.

Baadhi ya Mc's ambao Cube aliwataja ni Melle Mal,Krs One,Snoop Dogg,Eminem,Biggie,Jay ,Nas,Lil wayne na kadhalika.(tazama video yote kuwajua waliobakia)

Hii si mara ya kwanza kwa Cube kutomtaja Pac kwenye list yake na kwa jamii ya wanahiphop huzua mjadala mkubwa kua Pac aliwahi kua nashida na Cube ama nini kinachomfanya asimjumuishe.

Anyways Cube ni moja wa wanahiphop watata na wenye msimamo

0 comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates