![]() |
gharama zao binafsi na mara kadhaa wanaandishi wa Habari walionekana kumzonga bwana Dadaro na kujaribu kumhoji ni kwa amehamua kufanya kazi hiyo ya kuziba mashimo yaliyomo kwenye barabara wakati hiyo kazi ilitakiwa ifanywe na serikali au viongozi husika lakini jibu lilikuwa tofauti kwa upande nukuu ``Nimejifunza mambo mengi tangu kitokee kifo cha binti yang una nimegundua familia nyingi hapa Mumbai zinapoteza watu wazima kwa Watoto kutokana na mashimo haya tukingojea mpaka serikali ije kufanya marekebisho tutaenedea kupoteza watu tunao wapenda.’’ Mpaka sasa imepita miaka 3 na miezi kadhaa tangu bwana Dadarao kumpoteza mtoto wake wa kike kipenzi, kwa juhudi zake na familia yake wamefanikiwa kurekebisha mashimo 556 kwa gharama zao. Serikali ya India na viongozi wake kwa ujumla wamevutiwa sana na uzalendo wa Dadarao kwa hatua hiyo imehamua kumuunga mkono mzalendo huyo na kuhaidi kufanya marekebisho katika barabara zote zinazopatikana katika nchi ya India.
Mwandishi; F.A.Maige.
Kuwa wa kwanza kusoma matukio na habari hapa kwenye blog yetu.Asante.

0 comments:
Post a Comment