RAPA wa
miondoko ya Hip Hop kutoka Marekani ASAP Rocky ametangaza kwamba yupo
katika mapenzi na mwanamuziki nyota wa miondoko ya Rnb Rihanna.
Rapa huyo
alimuelezea Rihanna kuwa penzi la Maisha yake katika mahojiano na GQ.
Uvumi
kuhusu iwapo nyota hao wamekuwa katika uhusiano wa kimapenzi ulianza mapema
2013, wakati rapa huyo alipomsaidia Rihanna katika ziara yake ya Diamond World
Tour.
“Yeye ni
sawa na labda milioni wengine, Nadhani wakati unajua, unajua tu,” alisema. “Ni
Yeye tu.”
Wawili
hao walishiriki katika Video ya ASAP Rocky ya 2013 ya fashion Killa.
Tangu
wawili hao walipoanza mahusiano ya kimapenzi , wamekuwa wakijaribu kuwazuia
waandishi wa habari kuwapiga picha pamoja, taarifa hiyo ilisema.
Rapa huyo
alisema kwamba mpenzi wake ndiye aliyeishawishi albamu yake mpya ambayo
itamshirikisha Morrissey.mchana wa leo wapendanao hao wameonekana maeneo ya miami wakiwa katika pozi la kupiga picha tofauti tofauti na Asaprock amepost katika mtandao wake wa instagram akisema ``Asap rocky and Rihanna shooting a new musi video'' tukae mkao wa kula kuona ni nini kina kuja kutoka kwa wawili hao,
Mwandishi; F.A.Maige
simu no. 0657 129 225
Wale wote wapenzi wa burudani hapa ndipo mahala pekee usikose kutembelea kila siku.Asante
0 comments:
Post a Comment